• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Nyuki na Misitu
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Kilimo

Halmashauri ya Mji kupitia Idara ya Kilimo imekuwa ikisimamia na kutoa ushauri kwa wakulima juu ya uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara na elimu ya ushirika kwa wanachama wa AMCOs, SACCOS na vyama vya ushirika vya msingi.

Kulingana na ardhi na hali ya hewa katika Halmashauri ya Mji wa Geita baadhi ya mazao kama Katani, dengu, tumbaku na alizeti yanaweza kustawi vizuri yakilimwa katika maeneo mbalimbali lakini wakulima hawajapata mwamko wa kuyalima isipokuwa alizeti tu ambayo inalimwa kwa kiwango kidogo sana na wakulima wachache.

Halmashauri imelenga kulima Hekta 30,340 za mazao mbalimbali ya chakula na mpaka sasa utekelezaji wake ni jumla ya Hekta 20,487 kama inavyoonyeshwa kwenye jedwali.

MALENGO YA KILIMO NA MATARAJIO YA MAVUNO

Na
ZAO
LENGO( HA)
UTEKELEZAJI (HA)
MATARAJIO YA MAVUNO ( TANI)
1
Mahindi
7,652
8,458
19,130
2
Mpunga
6,078
3645
12,156
3
Mihogo
4,942
3,405
13,178
4
Viazi vitamu
3,765
1,531
12,550
5
Mtama
1,382
192
1,382
6
Ulezi
41
66
41
7
Maharage
3,898
2,022
3,898
8
Karanga
2,417
900
1,611
9
Kunde
360
268
360


MAENEO YANAYOFAA KWA KILIMO CHA UMWAGILIAJI

Halmashauri ya Mji wa Geita ina eneo la Hekta 2,870 zinazofaa kwa kilimo cha umwagiliaji kama inavyoonyeshwa katika jedwali hapo chini

Na
KIJIJI
KATA
UKUBWA WA ENEO( HEKTA)
1
Ibanda
Kanyala
800
2
Nyambogo
Shiloleli
650
3
Gamashi
Bulela
600
4
Nyaseke
Bulela
250
5
Bulela
Bulela
150
6
Nyakahongola
Kasamwa
170
7
Mwilima
Kanyala
250


Matangazo

  • Fomu za Kuijiunga Kidato cha Kwanza Shule ya Sekndari Nyankumbu na Geita December 29, 2020
  • TANGAZO LA KODI YA MAJENGO April 20, 2018
  • TANGAZO LA WAMILIKI WA VIWANJA VILIVYOSHINDWA KUENDELEZWA BOMBAMBILI NA MAGOGO May 28, 2018
  • TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI YA HESABU ZA KUISHIA TAREHE 30 JUNI 2017 June 29, 2018
  • Zaidi

Habari Mpya

  • Mapato ya Ndani Kujenga Miradi ya Kimkakati

    March 04, 2021
  • Wananchi Wakumbushwa Kulipa Kodi Kwa Muda

    March 02, 2021
  • Geita Mji Yajipanga Kuepuka Mrundikano wa Wanafunzi

    February 15, 2021
  • Wananchi Watakiwa Kupinga Ukatili

    December 11, 2020
  • Zaidi

Video

Bombambili Bomba ndani ya Miaka 5 ya JPM
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Applications Forms
  • Acts
  • Barua pepe za watumishi
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa