• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

RC SHIGELA AKAGUA MRADI WA BARABARA MWATULOLE, AMTAKA MKANDARASI KUKAMILISHA KWA HARAKA.

Posted on: November 11th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Martine Shigela leo Novemba 11, 2025 amekagua ujenzi wa mradi wa barabara ya kiwango cha lami (Mkolani - Mwatulole, Nyankumbu - Kivukoni) sehemu ya Mwatulole yenye urefu wa kilomita 17 na kumtaka Mkandarasi anayetekeleza mradi huo kufanya kazi kwa haraka ili mradi uweze kukamilika kwa muda uliobakia ili kuwanufaisha wananchi kama lilivyo kusudi la Serikali.

Mhe. Shigela ametoa agizo hilo baada ya kufanya ukaguzi wa mradi huo ambao unafadhiliwa na benki ya dunia kwa gharama za kitanzania Bilioni 22.2 na kuongeza kuwa barabara hiyo ina umuhimu mkubwa hasa katika kuimarisha shughuli za kiuchumi na kijamii.

Mradi huu wa barabara unajulikana kama Uboreshaji kwa Kiwango cha Lami Barabara ya Mkolani - Mwatulole, Nyankumbu - Kivukoni, Nguzombili - Samandito inayounganisha Emma - Mamakengele - Mwabasabi na Mwatulole - Mshinde Twiga yenye jumla ya kilomita 17 na unafadhiliwa na benki ya dunia kwa gharama za kitanzania 22,232,794.212/= na unatarajiwa kukamilika februari 2026.

Kwa sasa mradi huu ushafikisha asilimia 61 na Mkandarasi wa mradi huu ni Sichuan Road and Bridge (Group) Corporation LTD na Msimamizi (Mhandisi Mshauri) Luptan Consults LTD kwa Ushirikiano na Safi Consultants LTD wote wakitokea Dar es Salaam

Wakati huohuo, Mhe. Shigela ametambelea na kukagua ujenzi wa shule ya msingi Nyantindili iliyopo katika Mtaa wa Elimu katika Kata ya Nyankumbu, ambapo amewapongeza wananchi wa Nyankumbu kwa kuonesha jitihada zao za kujenga msingi wa vyumba vya madara na amewaahidi kuwachangia tofali elfu mbili (2,000) huku ofisi ya Mkuu wa wilaya ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe. Hashim Komba ikiahidi mifuko 50 ya saruji.

Ujenzi wa shule hii ulianza rasmi tarehe 03 Septemba, 2025 kwa hatua za uchimbaji wa wa msingi na ununuzi wa vifaa vya ujenzi. Utekelezaji wa mradi huu umefanyika kwa kujenga vyumba vitano vya madarasa, ukamilishaji wa vyumba viwili vya madarasa na ujenzi wa matundu sita ya choo, ambapo vyumba vyote saba vya madarasa vipo katika hatua ya uwekaji wa mifumo ya umeme huku matundu sita ya choo yapo katika hatua ya upigaji ripu.

Ujenzi wa shule hii hadi sasa umepokea fedha kiasi cha 163,600,000/= ikiwa mradi wa Boost 88,600,000/=, mapato ya ndani 50,000,000/= na serikali kuu 25,000,000/= na kiasi kilichotumika hadi sasa ni 158,018,000/= ikiwa mradi wa Boost 86,075,000/=, mapato ya ndani 49,327,500/= na serikali kuu 2,384,500/= na kiasi kilichobakia ni shilingi 5,582,000 ambacho kinaweza kukamilishia hatua zilizopakia bila changamoto yoyote.

Naye Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita (RPC), Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Safia Jongo amewataka wazazi na walezi kuwa na malezi mazuri kwa watoto ili kuwa na vijana wa kesho walio wazalendo na wenye maadili.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

BOFYA HAPA KUONA VIDEO

BOFYA HAPA KUONA VIDEO

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2026 MANISPAA YA GEITA December 04, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UCHAGUZI MKUU 2025 October 06, 2025
  • TAARIFA YA UKAGUZI WA TAARIFA ZA FEDHA KWA MWAKA ULIOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024 August 11, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA DEREVA II September 04, 2025
  • Zaidi

Habari Mpya

  • MKURUGENZI WA MANISPAA YA GEITA AFANYA KIKAO MAALUM KUSIKILIZA KERO ZA WATUMISHI WA AFYA

    December 04, 2025
  • MANISPAA YA GEITA YASAMBAZA MBEGU ZA VIAZI LISHE KATIKA SHULE 41 KUBORESHA LISHE YA WANAFUNZI

    December 03, 2025
  • MANISPAA YA GEITA YAKABIDHI KOMPYUTA MPAKATO KWA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII NGAZI YA KATA KUONGEZA UFANISI WA KAZI

    December 03, 2025
  • MADIWANI WA MANISPAA YA GEITA WALA KIAPO NA KUJIELEKEZA KULETA MAENDELEO KWA KUZINGATIA SHERIA NA TARATIBU ZA NCHI

    December 02, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa

  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AERO88
  • YAMITOTO
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • YAMITOTO
  • AXL777
  • AXL777
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • KOI200 GACOR
  • KOI200
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • yamitoto
  • koi200
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • ufabet
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200
  • aero88
  • yamitoto
  • axl777
  • dora77
  • slot gacor
  • aero88
  • aero88
  • dora77
  • dora77
  • slot gacor
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • axl777
  • yamitoto
  • axl777
  • aero88
  • dora77
  • yamitoto
  • dora77
  • axl777
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • situs toto